KASI MPYA NGUVU MPYA NA ARI MPYA

Tuesday, November 17, 2009

Education Is Taken For Granted In US...

Education Is Taken For Granted In US...

Posted using ShareThis

Monday, June 22, 2009

PIGO KUBWA KATIKA MUZIKI WA TAARABU


Mwimbaji wa siku nyingi wa muziki wa Taarab aliyewahi kutamba na kundi la muungano lililokuwa likiongozwa na Mchezea nyoka maarufu Norbert Chenga Nasma Khamis "Kidogo" amefariki dunia leo kwenye Hospitali ya Temeke alikokuwa amelazwa kutokana na kuugua Maralia
Baba mdogo wa Marehemu ambaye amejitambulisha kwa jina la Mzee Kaniki akizungumza na vyombo vya habari nyumbani kwake Kinondoni Sharif Shamba ambako ndiko msiba uliko amesema Marehemu alikuwa na matatizo ya shinikizo la damu tatizo lililokuwa likimsumbua mara nyingi, hata hivyo siku za hivi karibuni alishikwa na maralia na kupelekwa katika Hospitali ya Temeke ambako alilazwa na kukaa hapo kwa siku nne mpaka mauti yalipompata usiku wa kuamkia leo
Nasma Khamins atakumbukwa kwa nyimbo zake nyingi nzuri zilizokuwa zikipendwa na mashabiki wengi wa muziki kama vile "Naona mambo iko huku" wimbo uliovuma sana wakati huo akiwa na kundi la muungano kundi hilo likiwa hasimu mkubwa wa kundi lingine la la muziki wa Taarab TOT, ambapo mwimbaji mshindani wa Nasma alikuwa alikuwa Khadija Kopa Mungu ailiaze mahali pema peponi Roho ya Marehemu Nasma Khamis Kidogo Amin

Thursday, June 18, 2009

Anayetuhumiwa kumiliki mtandao wa zeutamu adakwa


Polisi wa Tanzania kwa kushirikiana na Polisi wa Kimataifa (Interpol),wamefanikiwa kumshika Raia mmoja wa Uingereza ambaye ana asili ya Tanzania Ndg Malecela Peter Lusinde (pichani) mwenye umri wa miaka 39 na kutuhumiwa kwa kuundesha mtandao wa Ze Utamu.Ndugu Malecela ambaye anajulikana pia kwa jina la "Male" ni Mtaalamu wa kompyuta na ana uwezo wa kuzungumza na kuandika Kiingereza,kiswahili na kichina ana makazi katika mji wa Essex nchini Uingereza.

Wataalamu wa Idara ya upelelezi kutoka Tanzania wakishirikiana na wenzao wa Uingereza wamefanikiwa kuonana na Ndg Male na kupata ushahidi wa kutosha kwamba ndiye alikuwa mmiliki wa Mtandao huo.Idara ya Upelelezi na polisi wa Uingereza wameutaarifu Ubalozi wa Tanzania mjini London kuhusu suala hilo.Maofisa Ubalozi Mr.Clement Kiondo na Amos Msanjila wamefahamishwa jambo hilo.Malecela ni Mtoto wa Mzee Job Lusinde ambaye amewahi kufanya kazi kwenye nyadhifa mbalimbali za utumishi wa serikali Nchini Tanzania.

Habari zilizothibitishwa zinadai kuwa Ndg Malecela amerudishwa Tanzania kwenda kujibu tuhuma mbalimbali za kuendesha mtandao uliokuwa unadhalilisha watu,kuna malalamiko 6850 yaliyoandikishwa kulaumu udhalilishwaji wa watu uliofanywa na mtandao huo,Mtandao huo ulisimamishwa mwanzoni mwa mwezi wa pili kwa maombi ya serikali ya Tanzania baada ya kutoa picha ya kumdhalilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete,ufuatiliaji uliofanywa baada ya picha hiyo ndio umepelekea kukamatwa kwa Ndg Malecela.

Haijaeleweka wazi Ndg Malecela atashitakiwa kwa sheria gani? Lakini ni wazi kwamba atashitakiwa Nchini Tanzania.Licha ya Ndg. Malecela Polisi wa Upelelezi wamezungumza na Watanzania wengine wawili katika miji ya Wichita na San Diego Nchini Marekani,ambao pia wanahusishwa na Mtandao huo wa Ze Utamu.

Saturday, June 13, 2009

Colonel Moammar Gadaffi

One of them likes to call himself an "emancipator of women". The other likes women to call him "papi". So when two of the world's most flamboyant and eccentric politicians -- the Libyan leader, Colonel Moammar Gadaffi, and Italy's prime minister, Silvio Berlusconi -- met on Wednesday in Rome, women figured large.



The Libyan leader was accompanied by his all-female, 40-strong bodyguard squad, its members dressed in khaki uniforms and red berets. And the schedule for his controversial first visit to Italy included, at his own request, a meeting on Friday with large numbers of Italian women. Very large numbers.

The plan was for "only" 700. But officials said on Thursday that such was the colonel's drawing power the event had had to be moved to a concert hall with a capacity for 1 000.

Berlusconi has had more than a little trouble lately with embarrassing photos. So it must have been with a sinking ­feeling that he watched the Libyan leader descend the aircraft steps with another one pinned to his chest.

The photograph Gadaffi wore to several of the ceremonies on the opening day of his visit did not show young women in underwear by Berlusconi's poolside, let alone a former Czech prime minister in the altogether. But it was discomforting for his hosts all the same: it showed the Libyan resistance leader, Omar Mukhtar, the "Lion of the Desert", on the day before he was hanged by ­Italian colonialists in 1931.

Gadaffi flew in with a 300-strong retinue, on three Airbuses. As ever, he brought with him a giant Bedouin tent, which was erected in a Rome park.

Security for his visit was tight. But that is partly because, while Gadaffi may have bones to pick with Italy, some Italians have bones to pick with him.

Officially on Thursday it was all smiles as the colonel praised Italy for having "turned a page on the past". Relations have improved since Berlusconi's ­government agreed last year to pay $5-billion in reparations for Italy's ­colonial rule. Italy, Gadaffi said, had "apologised, and that is what allowed me to be able to come here today". But not everyone is happy about the visit. Gadaffi is set to encounter protests over a deal that allows Italian patrols to return would-be migrants, including asylum seekers, to Libyan ports. On Wednesday he dismissed claims that the deal prevented asylum seekers from applying for protection, in a way that visibly disconcerted his host, normally a champion of political incorrectness.

"This is one of the lies that is put about," the colonel declared at a joint press conference after his talks with ­Berlusconi. "The Africans do not have problems of political asylum. People who live in the bush, and often in the desert, don't have political problems. They don't have oppositions or majorities or elections."

UGONJWA GANI UNAOMSUMBUA MWANAHARAKATI HUYU



NA HUYU NAYE NININI YUPO KAWAIDA KWELI

THE LOST YA KIBONGO aka MAISHA PLUS




NILIPATA BAHATI YA KUKUTANA NA WALIOKUWA WASHIRIKI WA MCHEZO WA MAISHA PLUS ULIOKUWA UKIRUSHWA NA TELEVISION YA TAIFA HIVI KARIBUNI NA MSHINDI KUIBUKA BWANA ABDUL HAYUPO PICHANI, MSHIRIKI KUTOKA ZANZIBAR

Friday, June 12, 2009

mdau afunga pingu za maisha

wedding cake

anitha akiweka sign mkataba wa maisha na denis

weding day

akiwa na mpambe wake

maandalizi ya kitchen party

hayawi hayawi sasa yamekuwa mdau denis na mywife wake anitha wakimeremeta baada ya kula pingu za maisha.

Saturday, January 31, 2009

malalamiko ya wanazuoni idara ya sociologia UDSM

Kuna mambo mengi yanayoendelea katika elimu ya juu katika nchi yetu, kama wewe ni mwanadhuoni na hukuwahi kupatwa na msukosuko wa kupata suplimentary katika masomo yako nakupa hongera sana na itakuwa vigumu kuwaunga mkono baadhi ya hawa wanaolalamikia matokeo yao katika harakati za kujikwamuo katika elimu zao. kunamalalamiko mengi katika vyuo vyetu.kuna baadhi ya wahadhiri wanaamini kufelisha wanafunzi ndio kipimo cha elimu bora, sitaki kuamini katika hili ila kunawanao tumia kalamu kama chambo cha kuwapata kimapenzi wale wanao wataka.sina ushahidi sana wa hili lakini habari zisizo rasmi ni hizo. sikiliza baadhi ya maoni na malalamiko kutoka kwa wanachuo mbalimbali pamoja na wale waliopitia katika elmu hii kwa kubofya hapa.

Nawapeni pole wale wote walio wahi kwa makusudi kabisa kufelishwa katika masomo yao.naamini ridhiki ya mtu haipotei ila inacheleweshwa tu, pia kwa wale wazembe katika masomo yao nawashauri mkaze buti na muache kupakaza kama nanyie ni miongoni mwa waathirika wa ufisadi huu.

vyuo vikuu bora Afrika.Afrika kusini yaongoza kwa ubora wa vyuo vyake

The InternetLab Ranking of 30 Top African Universities
Rank University Country World Rank

1 University of Cape Town South Africa 398
2 Universiteit Stellenbosch South Africa 566
3 Universiteit van Pretoria - University of Pretoria South Africa 718
4 University of the Witwatersrand South Africa 720
5 Rhodes University South Africa 738
6 University of South Africa South Africa 1,449
7 University of the Western Cape South Africa 1,553
8 American University in Cairo Egypt 1,826
9 Noordwes Universiteit - North West University South Africa 1,857
10 University of KwaZulu-Natal South Africa 2,214
11 University of Johannesburg South Africa 2,323
12 University of the Free State South Africa 2,369
13 Université de La Reunion France 2,387
14 Nelson Mandela Metropolitan University South Africa 2,542
15 University of Dar Es Salam Tanzania 2,819
16 University of Zimbabwe Zimbabwe 3,072
17 Al Akhawayn University in Ifrane Morocco 3,174
18 Cape Technikon South Africa 3,414
19 University of Mauritius Mauritius 3,682
20 University of Zululand South Africa 3,724
Source: InternetLab (Observatorio de Ciencia y Tecnologia en Internet)

------------------------------------------------------------------------------------^^^

Tuesday, January 27, 2009

Party kabambe yakuukaribisha mwezi mpya wa february2009 hiyo!

Saturday, January 24, 2009

UMEME UMEKATIKA

SINA BUDI KUFUNGA VIRAGO VYANGU NAKUONDOKA KATIKA KITI CHANGU BAADA YA UMEME KUKATIKA NA SASA NATUMIA CHARGE KIDOGO ILIYOBAKI KUWAAGA.

LAKINI NINANI WA KULAUMIWA?
KUKATIKAKATIKA KWAUMEME LIMEKUWA NIJAMBO LISILO LA AJABU SASA SIJUI NI KWETU TU MOROGORO AU NA MIKOA MINGINE MNAPATWA NA HADHIA HII.
UMEME UNAKATWA KILA DAKIKA NA HAKUNAMAELEZO WANAYOTOA ILI NASISI WATUMIAJI TUWETUNAJUA NI MIDAGANI TUNAWEZA FANYA NINI! NI HASARA NYINGI TUNAZIPATA LAKINI HATUJUI NINANI TUMPELEKEE MALALAMIKO YETU NASERIKALI IMEKAA KIMYA KWAHILI!

ALARM ZIMEZIDI KWAHERINI JAMANI!

kumradhi

kutokana nasababu zisizokuwa ndani ya uwezo wangu nimekuwa nikikosekana katika kuendeleza libeneke la bloging, nimekuwa natatizo la log in kwenye blog yangu na hivyo kushindwa kufanya chochote, sijajua tatizo hili ni mimi pekeyangu ninalo au kuna ambaye lishamkuta ila hata hivi sasa imenibidi nitumie njia mbadala kuweza kuingia ndani ya nyumba yangu, inawezekana nimeingia kupitia dirishani hilo niachieni vile vile kwamuda wote nilikuwa nje ya nymba yangu nilikuwa napendelea kuchezea katika kijiji cha jirani na naamini hata wewe huna budi kukitembelea karibu sana hapa vile vile kuna kijiji cha wenzetu kina kwenda kwa jina la bongo yetu huna budi napo kukutembelea nisehemu nzuri pia za kushinda utakapo mapumziko.

namwomba mungu mlango wangu upone ili niweze rejea tena kwa kasi mpya katika nyumba yangu. poleni sana wote mlionitembelea nakukuta mlango umefungwa na sauti za popo na buibui kutawala katika nyumba yangu. natumahi nimerudi sasa

Wednesday, October 15, 2008

simon kitururu anitembelea morogoro


nimebahatika kukutana na katibu wa jumuwata bwana simon kitururu.

mtihani wa hesabu uliovuja!

Beauty of Mathematics !!!!!!!

1 x 8 + 1 = 9
12 x 8 + 2 = 98
123 x 8 + 3 = 987
1234 x 8 + 4 = 9876
12345 x 8 + 5 = 98765
123456 x 8 + 6 = 987654
1234567 x 8 + 7 = 9876543
12345678 x 8 + 8 = 98765432
123456789 x 8 + 9 = 987654321

1 x 9 + 2 = 11
12 x 9 + 3 = 111
123 x 9 + 4 = 1111
1234 x 9 + 5 = 11111
12345 x 9 + 6 = 111111
123456 x 9 + 7 = 1111111
1234567 x 9 + 8 = 11111111
12345678 x 9 + 9 = 111111111
123456789 x 9 +10= 1111111111

9 x 9 + 7 = 88
98 x 9 + 6 = 888
987 x 9 + 5 = 8888
9876 x 9 + 4 = 88888
98765 x 9 + 3 = 888888
987654 x 9 + 2 = 8888888
9876543 x 9 + 1 = 88888888
98765432 x 9 + 0 = 888888888

Brilliant, isn't it?

And look at this symmetry:

1 x 1 = 1
11 x 11 = 121
111 x 111 = 12321
1111 x 1111 = 1234321
11111 x 11111 = 123454321
111111 x 111111 = 12345654321
1111111 x 1111111 = 1234567654321
11111111 x 11111111 = 123456787654321
111111111 x 111111111 = 12345678987654321



Now, take a look at this...


101%



From a strictly mathematical viewpoint:



What Equals 100%?
What does it mean to give MORE than 100%?

Ever wonder about those people who say they are giving more than 100%?

We have all been in situations where someone wants you to
GIVE OVER 100%.

How about ACHIEVING 101%?


What equals 100% in life?


Here's a little mathematical formula that might help
answer these questions:


If:

A B C D E F G H I J K L M N O P Q R S T U V W X Y Z

Is represented as:

1 2 3 4 5 6 7 8 9 10 11 12 13 14 15 16 17 18 19 20 21 22 23 24 25 26.


If:


H-A-R-D-W-O- R- K

8+1+18+4+23+ 15+18+11 = 98%


And:

K-N-O-W-L-E- D-G-E

11+14+15+23+ 12+5+4+7+ 5 = 96%


But:

A-T-T-I-T-U- D-E

1+20+20+9+20+ 21+4+5 = 100%



THEN, look how far the love of God will take you:



L-O-V-E-O-F- G-O-D

12+15+22+5+15+ 6+7+15+4 = 101%


Therefore, one can conclude with mathematical certainty that:

While Hard Work and Knowledge will get you close, and Attitude will
get you there, It's the Love of God that will put you over the top!

It's up to you if you share this with your friends & loved ones just
the way I did..

Have a nice day & God bless!!

Thursday, January 24, 2008

Check out my Slide Show!

Joseph Rweyemamu ajipatia mke(mshomile)



changamoto zimeanza kunikabili haswa baada ya rafiki zangu wa karibu tulio cheza wote utotoni kuamua kuachana na ukapela,hii imenishtua nakunifanya kuanza kupanga mikakati na mitego mbalimbali ili na mimi nikitoka south africa2010 kwenye zile fainali niweze kujimuvuzishia, wadau nitaitaji michango yenu musinitose

Friday, December 28, 2007

before you think of saying an unkind word - Think of someone who can't speak.

There was a blind girl who hated herself just because she's blind.

She hated everyone, except her loving boyfriend. He's always there for her. She said that if she could only see the world, she would marry her boyfriend.
One day, someone donated a pair of eyes to her and then she can see
everything, including her boyfriend. Her boyfriend asked her, "now that you can see the world, will you marry me?" The girl was shocked when she saw that her boyfriend is blind too, and refused to marry him.

Her boyfriend walked away in tears, and later wrote a letter to her saying, "just take care of my eyes dear."

This is how human brain changes when the status changed. Only few remember what life was before, and who's always been there even in the most painful situations.

Life Is A Gift

Today before you think of saying an unkind word - Think of someone who can't speak.
Before you complain about the taste of your food - Think of someone who has nothing to eat.
Before you complain about your husband or wife - Think of someone who's crying out to God for a companion.
Today before you complain about life - Think of someone who went too early to heaven.
Before you complain about your children - Think of someone who desires children but they're barren.
Before you argue about your dirty house, someone didn't clean or
sweep - Think of the people who are living in the streets.
Before whining about the distance you drive - Think of someone who walks the same distance with their feet.
And when you are tired and complain about your job -Think of the unemployed, the disabled and those who wished they had your job.
But before you think of pointing the finger or condemning another - Remember that not one of us are without sin and we all answer to one maker.

And when depressing thoughts seem to get you down - Put a smile on your face and thank God you're alive and still around.


Life is a gift, Live it, Enjoy it,
Celebrate it, And fulfill it.

Tuesday, November 20, 2007

mdahalo wa familia unapozua mzozo

Siku mtu na mkewe walikuwa wanabishana ni nani muoga
kuliko mwenziwe,mume anasema mke muoga na mke anasema
mume muoga ndipo walipoamua kuwauliza watoto wao


Baba =Naomba kuwauliza ni na nani kati ya mimi na mama yenu mwoga zaidi


Mtoto 1=mama mwoga sababu anaogopa hata kutoka nje usiku wakati baba akiwa amesafiri


Mtoto 2=Baba ndio muoga zaidi maana anaogopa kulala peke yake mama kama siku akiondoka anamuita Msichana wakazi analala nae.

Wednesday, November 14, 2007

1. Coca-Cola was originally green.
----------------------------------------------------------
2 the most common name in the world is Mohammed.
----------------------------------------------------------
3 . The name of all the continents ends with the same letter that they start with.
----------------------------------------------------------
4 . The strongest muscle in the body is the tongue.
----------------------------------------------------------
5 . There are two credit cards for every person in the United States .
----------------------------------------------------------
6 . TYPEWRITER is the longest word that can be made using the letters only on one row of the keyboard.
----------------------------------------------------------
7 . Women blink nearly twice as much as men!
----------------------------------------------------------
8. You can't kill yourself by holding your breath ..
----------------------------------------------------------
9 . It is impossible to lick your elbow.
----------------------------------------------------------
10. People say "Bless you" when you sneeze because when you Sneeze, your heart stops for a millisecond.
----------------------------------------------------------
11 . It is physically impossible for pigs to look up into the sky.
----------------------------------------------------------
12 . The "sixth sick sheik's sixth sheep's sick" is said to be the toughest tongue twister in the English language.
----------------------------------------------------------
13. If you sneeze too hard, you can fracture a rib. If you try to Suppress a sneeze; you can rupture a blood vessel in your head or neck and die.
----------------------------------------------------------
14 . Each king in a deck of playing cards represents great king from History. "Spades" - King David; "Clubs" - Alexander the Great; " Hearts" - Charlemagne; "Diamonds" - Julius Caesar.
------------------------------ ----------------------------
15.

11 x 11=121

111 x111=12321

1111x1111=1234321

11111x11111=123454321

111111x111111=12345654321

1111111x1111111=1234567654321

111111111x111111111=123456787654321

111,111,111 x 111,111,111 = 12,345,678,987,654,321
----------------------------------------------------------
16. If a statue of a person in the park on a horse has both front legs in the air, the person died in battle. If the horse has one front leg in the air, the person died as a result of wounds received in battle.
If the horse has a all four legs on the ground, the person died of natural causes.
----------------------------------------------------------
17 What do bullet proof vests, fire escapes, windshield wipers and laser printers all have in common?
Ans. - All invented by women.
----------------------------------------------------------
18. Honey - This is the only food that doesn't spoil.
----------------------------------------------------------
19. A crocodile cannot stick its tongue out.
----------------------------------------------------------
20. A snail can sleep for three years.
----------------------------------------------------------
21. All polar bears are left handed.
----------------------------------------------------------
22. American Airlines saved $40,000 in 1987 by eliminating one olive from each salad served in first-class.
----------------------------------------------------------
23 . Butterflies taste with their feet.
----------------------------------------------------------
24 Elephants are the only animals that can't jump.
----------------------------------------------------------
25 . In the last 4000 years, no new animals have been domesticated.
----------------------------------------------------------
26 . On average, people fear spiders more than they do death.
----------------------------------------------------------
27 . Shakespeare invented the word 'assassination' and 'bump'.
----------------------------------------------------------
28. Stewardesses is the longest word typed with only the left hand.
----------------------------------------------------------
29. The ant always falls over on its right side when intoxicated.
----------------------------------------------------------
30 . The electric chair was invented by a dentist.
----------------------------------------------------------
31 . The human heart creates enough pressure when it pumps out to the body to squirt blood 30 feet.
----------------------------------------------------------
32 Rats multiply so quickly that in 18 months, two rats could have over million descendants.
----------------------------------------------------------
33. Wearing headphones for just an hour will increase the bacteria in your ear by 700 times.
----------------------------------------------------------
34 . The cigarette lighter was invented before the match.
----------------------------------------------------------
35. Most lipstick contains fish scales.
----------------------------------------------------------
36 . Like fingerprints, everyone's tongue print is different
----------------------------------------------------------
37. And finally 99% of people who read this will try to lick their elbow.

Knowledge is to be shared & enjoyed

Friday, November 09, 2007

NI KWELI HIZI NDIO TABIA ZA WANAWAKE WA MAKABILA HAYA?

CHAGGA WOMEN
First Date: You get to buy her Amarula (or Redds), mbuzi choma and dance the whole night. You have to buy her credit, to organize for the second date.
Second Date: You get to buy her and her girlfriends Amarula (or Redds), mbuzi choma and dance to the whole night. You exchange your expensive phone with her nokia.
Third Date: You get to pay her rent.
Tenth Date: She tells you she is engaged and you are a kyasaka

ZIGUA/ DIGO WOMEN

First date: She wants your home address
Second date: She comes home for the date with her brother (who is looking for a job)
Third date: She ends at the door, her mother is waiting
Fourth date: You have sex and she tells you she is pregnant and want you to take her and her baby

WAHAYA WOMEN
First Date: You both get blind drunk as you dance to Saida Karoli and later have sex.
Second Date: You both get blind drunk as you dance to Saida Karoli and later have sex.
20th Anniversary: You both get blind drunk as you dance to Saida Karoli and later have sex.

SUKUMA WOMEN
First Date: You take her to a movie and an expensive restaurant.
Second Date: You meet her parents and her Mom makes ugali and chicken.
Third Date: You have sex, she wants to marry you and insists on a 3-carat ring.
4th Anniversary: You already have 3 kids together and hate the thought of having sex.
5th Anniversary: You find yourself a girlfriend.

HEHE WOMEN
First Date: You buy her an expensive dinner, get drunk on Guinness, and have sex in the back of your car.
Second Date: She's pregnant.
Third Date: She moves in. One week later, her two sisters, her brother, all of their kids, her two cousins, her sister's boyfriend and his three kids move in ... and you get to eat rice and beans for the rest of your life in your home that used to be nice before you met her .

ZARAMO WOMEN
First date: You get to buy her dinner, but you realize nothing is going to happen.
Second date: You wait for her in the same restaurant but she gets lost on the way.
Third date: She does not even remember to pick your calls.

NYAKYUSA WOMEN
First date: After a date of drinking several bottles of Fanta, you get to kiss her goodnight.
Second date: You get to grope all over and make out.
Third date: You get to have sex, but only in the missionary position.

ZANZIBARI WOMEN
First Date: You get dynamite head.
Second Date: You get more great head.
Third Date: You tell her you'll marry her and never get head again.

MAASAI WOMEN
First date: You get to buy her an expensive dinner, but nothing happens.
Second date: You buy her an even more expensive dinner. Nothing happens again.
Third date: You don't even get to the third date and you already realized nothing is going to happen.

MAKONDE WOMEN
First date: Meet her parents.
Second date: Set the date of the wedding.
Third date: Wedding night and you get to ask her, her name

PARE WOMEN
First date: She wants sex, no food or drink
Second date: She wants more sex
Third date: She only wants ..apanimefuta