Saturday, November 18, 2006

Mkoa mpya wa magereza Tanzania


ule mkoa ulio ibuka Tanzania hivi majuzi umeweka sheria mpya za barabarani, mkuu wamkoa wa magereza bwana dito na kamanda wake wa mkoa bwana Zombe wametia saini kupitisha sheria hizo, baathi ni kama hiyo apo juu.

Wednesday, November 08, 2006

nafasi za kazi bongo


muliopo ugaibuni rudini bongo kuna nafasi nyeti za kazi, mwingine ndio huyo kajiachisha, mtoto wamjini Dito, naogopa wasije waka m Sadam, ingawaje sadamu hawakumtendea haki

wametuletea kachumbari sasa



mambo yamekucha bongo, kwa huduma za mawasiliano bongo inakuja juu, kama uliondoka miezi michache iliyopita ukija utabaki ukishangaa mambo kiulayaulaya, walitupatia huduma za GPRS kwenye simu zetu tigo na celtel,tigo na maanisha iliyokuwa ikiitwa mobitel tz,tunaweza kupata huduma za internate kwa kutumia simu na zaidi wamekuja jamaa wa kachumbari watembelee uone vinogesho kwa watumiaji wa simu za mikononi.achana na hao wale watafuta vipaji vya fleva za bongo Egidio najua unamkumbuka mkandiaji wa sanaa za bongo sister duu Salama, c ndiyo? watembelee bongo star search, wajamaa wanaponda hawa balaa, wengi wamejuta kushiriki, salama kama kawa anawapa za uso,ina discouradge lakini tutafika. pongezi kwa Master J kwa ushauri unaotoa kwa vijana iyo ndio inatakiwa, big up man!!!!!!!!!

SIFA ZA KIJINGA!!!!


Sii MABUZI tena, sasa ni ATM


Nazungumzia jina jipya kabisa la wanaume wakware maarufu kwa kuhonga zamani wakiitwa mabuzi sasa hivi ATM. ATM ni mashine maalumu za benki za kutumia umeme ambazo hutumika kuchukulia fedha saa yoyote na mahali popote ilipo, ilimradi una akaunti na kadi husika. Nilikuwa kwenye bar moja marufu hapa town na jirani yangu walikaa wanawake wawili wakiwa wanakunywa maji ya chupa kwa muda mrefu. wenyewe wanayaita maji spesho! Kwa mtazamo walionekana mambo yao si ”haba” (wanazo) na maana mavazi yao tu yalikuwa utambulisho kuwa wanapesa. lakini kwa kuwa nilikuwa karibu yao, niliweza kunasa mazungumzo yao kwa urahisi. ”Shoga hapa mimi nina elfu moja tu, tuagize maji ya mia tatu chupa mbili ili ibaki nauli, maana hii ATM yangu isipotokea tumeadhirika”, mwana dada mmoja alimweleza mwenzake.
Mashine ya ATM inayotoa fedha chapchap Nikajiuliza ATM wanayozungumzia hapa ni nini?nikasema leo nitaona mwisho wake.Nikajisogeza karibu yao kwa chat ili kunasa stori zaidi Haikupita nusu saa ilikuja gari moja ndogo na baadaye akashuka jamaa mmoja hivi akuonekana ameshiba sana,hapo ndipo mmoja kati ya wale wakina dada akaruka kwa furaha na kumwambia mwenzake ATM yangu hiyo sasa nina amani. Hapa ndiyo nikapata picha kuwa kumbe ATM inayozungumziwa hapa ni mwanaume! kweli baada ya jamaa kufika na kujiunga kwenye meza yao, meza yao ilibalika na kuwa ya ”heshima”, maana walianza kuagiza bia kwa fujo. Hapa najaribu tu kuwa kumbusha wale ndugu zangu ambao huwa wanajisahau sana kufanya mambo ya msingi na kuishia kuhonga zaidi kuwa sasa wamebatizwa jina jipya kutoka MABUZI na kuwa ATM. bwana egidio wahindi awajakugeuza ATM?

Wednesday, September 20, 2006

MR EBO ALISEMA MBADO HAJAWAI KUONA



self conteiner ndani ni choo cha shimo...mbado! kondoo a
naye rembua!!! mbado!!!!!!! sasa hiyo cha mtoto. umewahi kuona karoti yenye mahips? na bata akimpanda kuku? basi leo ona hiyo!!!!!!!!!!!!!

SABABU ZA TSUNAMI INASEMEKANA NI HAWA APA


KUTOKANA NA UZITO KUPITA KIASI INA SEMEKANA WALICHANGIA KUTOKEA KWA TSUNAMI, JE WEWE UNAUNGA MKONO????

Thursday, September 14, 2006

hii ni zaidi ya mapanki

tulivyoambiwa tunakula mapanki tulikataa na kumlaani hurbet sauper lakini minaona hii ni kashfa mbaya zaidi ya mapanki, mwenzangu unasemaje apo?

aliye kuja miaka ya tisini hata amini, miaka kumi ijayo mambo yatakuwaje?

Jamani eh,
Hivi kuna mtu ashawahi kukaa na kufikiri miaka michache ijayo mambo yatakuwaje??? Hebu kwa mfano mwaka 2016 twaweza shuhudia yafuatayo hapa Tanzania:
1) Wakati huo dawa ya ukimwi ishapatikana, mtu unaenda ofisini baada ya kutokuwepo kwa takriban majuma mawili. Bila shida unaongea na bosi wako huku ukimueleza..."Bosi, yaani ka-ukimwi kalinitandika vibaya sana last week" halafu sijui kwa nini mimi kananiandama hivyo.................

2) Bungeni napo tunakuwa na waheshimiwa kama Mr Ebo,
Kingwendu, Bambo na wafananao na hao. Unasikia spika akisema....Mheshimiwa Bambo swali la nyongeza. Bambo, "Mheshimiwa spika pamoja na majibu mazuri ya Waziri wa michezo na utamadun (Chifupa enzi hizo) naombi kuuliza swali hivi kwa nini siku ya fiesta isiwe sherehe ya kitaifa ambapo raisi atatoa mapumziko nchi nzima???

3) Uswahilini nako kama Manzese kutakuwa na maghorofa ya kutisha...Majungu ya akina mama wa apartment zilizo jirani yatakuwa...Hause girl wangu siku hizi hapiki bila kutizama DSTV ili kuona wenzake wa Afrika Kusini wanavyotengeneza masalo. Wewe wako bado anatizama kipindi cha mapishi ya ITV na Clouds TV???? Tv ya Clouds wakati huo kama CNN

4) Nako maofisini itakuwa utata mtupu, haitokuwa jambo la ajabu kuongea na bosi wa kiume huku heleni zinamning'inia masikioni. Na si ajabu akipata taarifa ya ghafla kuwa kampuni yake imepata hasara suruali ikamdondoka manake uvaaji ni ule wa bila mkanda huku ikiwa imeegeshwa chini ya matako (kata-K)"au nusu mlingoti"

5) Ukipita Sinza ndo utatoa macho...watoto wa chekechea wamajipanga kwenye ATM mashines kuchukua pesa ya kununulia lambalamba shuleni kwao. Yaani itakuwa mtafaruku mtupu...Mara mtoto mmoja anamwambia mtoto mwenzie, baba kanidipositia cheki feki, imebaunsi hivyo leo ice cream nitachukua kwa overdraft.

kikwete akichukua uzoefu kwa maveterani

Atawazee wakikutana mahali awakosi utani, hapo wanaonekana maraisi wastaafu mzee ruksa, ukweli na uwazi na kasi mpya wakibadilishana mawazo, maneno yaliopo chini yasichukuliwe maanani ni utani tu uliopandikizwa.

Friday, April 28, 2006

How to ask your Boss for a salary increase..?

One day you send a letter to your boss asking for an increase in your salary!
Dear Bo$$
In thi$ life, we all need $ome thing mo$t de$perately. I think you $hould be under$tanding of the need$ of u$ worker$ who have given $o much $upport including $weat and $ervice to your company.
I am $ure you will gue$$ what I mean and re$pond $oon.
Your$ $incerely,
The next day, you received this letter of reply:
Oh my dear:
I kNOw you have been working very hard. NOwadays, NOthing much has changed. You must have NOticed that our company is NOt doing NOticeably well as yet.
NOw the newspaper are saying the world`s leading ecoNOmists are NOt sure if the United States may go into aNOther recession. After the NOvember presidential elections things may turn bad.
I have NOthing more to add NOw. You kNOw what I mean.
Yours truly