Monday, June 22, 2009

PIGO KUBWA KATIKA MUZIKI WA TAARABU


Mwimbaji wa siku nyingi wa muziki wa Taarab aliyewahi kutamba na kundi la muungano lililokuwa likiongozwa na Mchezea nyoka maarufu Norbert Chenga Nasma Khamis "Kidogo" amefariki dunia leo kwenye Hospitali ya Temeke alikokuwa amelazwa kutokana na kuugua Maralia
Baba mdogo wa Marehemu ambaye amejitambulisha kwa jina la Mzee Kaniki akizungumza na vyombo vya habari nyumbani kwake Kinondoni Sharif Shamba ambako ndiko msiba uliko amesema Marehemu alikuwa na matatizo ya shinikizo la damu tatizo lililokuwa likimsumbua mara nyingi, hata hivyo siku za hivi karibuni alishikwa na maralia na kupelekwa katika Hospitali ya Temeke ambako alilazwa na kukaa hapo kwa siku nne mpaka mauti yalipompata usiku wa kuamkia leo
Nasma Khamins atakumbukwa kwa nyimbo zake nyingi nzuri zilizokuwa zikipendwa na mashabiki wengi wa muziki kama vile "Naona mambo iko huku" wimbo uliovuma sana wakati huo akiwa na kundi la muungano kundi hilo likiwa hasimu mkubwa wa kundi lingine la la muziki wa Taarab TOT, ambapo mwimbaji mshindani wa Nasma alikuwa alikuwa Khadija Kopa Mungu ailiaze mahali pema peponi Roho ya Marehemu Nasma Khamis Kidogo Amin

Thursday, June 18, 2009

Anayetuhumiwa kumiliki mtandao wa zeutamu adakwa


Polisi wa Tanzania kwa kushirikiana na Polisi wa Kimataifa (Interpol),wamefanikiwa kumshika Raia mmoja wa Uingereza ambaye ana asili ya Tanzania Ndg Malecela Peter Lusinde (pichani) mwenye umri wa miaka 39 na kutuhumiwa kwa kuundesha mtandao wa Ze Utamu.Ndugu Malecela ambaye anajulikana pia kwa jina la "Male" ni Mtaalamu wa kompyuta na ana uwezo wa kuzungumza na kuandika Kiingereza,kiswahili na kichina ana makazi katika mji wa Essex nchini Uingereza.

Wataalamu wa Idara ya upelelezi kutoka Tanzania wakishirikiana na wenzao wa Uingereza wamefanikiwa kuonana na Ndg Male na kupata ushahidi wa kutosha kwamba ndiye alikuwa mmiliki wa Mtandao huo.Idara ya Upelelezi na polisi wa Uingereza wameutaarifu Ubalozi wa Tanzania mjini London kuhusu suala hilo.Maofisa Ubalozi Mr.Clement Kiondo na Amos Msanjila wamefahamishwa jambo hilo.Malecela ni Mtoto wa Mzee Job Lusinde ambaye amewahi kufanya kazi kwenye nyadhifa mbalimbali za utumishi wa serikali Nchini Tanzania.

Habari zilizothibitishwa zinadai kuwa Ndg Malecela amerudishwa Tanzania kwenda kujibu tuhuma mbalimbali za kuendesha mtandao uliokuwa unadhalilisha watu,kuna malalamiko 6850 yaliyoandikishwa kulaumu udhalilishwaji wa watu uliofanywa na mtandao huo,Mtandao huo ulisimamishwa mwanzoni mwa mwezi wa pili kwa maombi ya serikali ya Tanzania baada ya kutoa picha ya kumdhalilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete,ufuatiliaji uliofanywa baada ya picha hiyo ndio umepelekea kukamatwa kwa Ndg Malecela.

Haijaeleweka wazi Ndg Malecela atashitakiwa kwa sheria gani? Lakini ni wazi kwamba atashitakiwa Nchini Tanzania.Licha ya Ndg. Malecela Polisi wa Upelelezi wamezungumza na Watanzania wengine wawili katika miji ya Wichita na San Diego Nchini Marekani,ambao pia wanahusishwa na Mtandao huo wa Ze Utamu.

Saturday, June 13, 2009

Colonel Moammar Gadaffi

One of them likes to call himself an "emancipator of women". The other likes women to call him "papi". So when two of the world's most flamboyant and eccentric politicians -- the Libyan leader, Colonel Moammar Gadaffi, and Italy's prime minister, Silvio Berlusconi -- met on Wednesday in Rome, women figured large.



The Libyan leader was accompanied by his all-female, 40-strong bodyguard squad, its members dressed in khaki uniforms and red berets. And the schedule for his controversial first visit to Italy included, at his own request, a meeting on Friday with large numbers of Italian women. Very large numbers.

The plan was for "only" 700. But officials said on Thursday that such was the colonel's drawing power the event had had to be moved to a concert hall with a capacity for 1 000.

Berlusconi has had more than a little trouble lately with embarrassing photos. So it must have been with a sinking ­feeling that he watched the Libyan leader descend the aircraft steps with another one pinned to his chest.

The photograph Gadaffi wore to several of the ceremonies on the opening day of his visit did not show young women in underwear by Berlusconi's poolside, let alone a former Czech prime minister in the altogether. But it was discomforting for his hosts all the same: it showed the Libyan resistance leader, Omar Mukhtar, the "Lion of the Desert", on the day before he was hanged by ­Italian colonialists in 1931.

Gadaffi flew in with a 300-strong retinue, on three Airbuses. As ever, he brought with him a giant Bedouin tent, which was erected in a Rome park.

Security for his visit was tight. But that is partly because, while Gadaffi may have bones to pick with Italy, some Italians have bones to pick with him.

Officially on Thursday it was all smiles as the colonel praised Italy for having "turned a page on the past". Relations have improved since Berlusconi's ­government agreed last year to pay $5-billion in reparations for Italy's ­colonial rule. Italy, Gadaffi said, had "apologised, and that is what allowed me to be able to come here today". But not everyone is happy about the visit. Gadaffi is set to encounter protests over a deal that allows Italian patrols to return would-be migrants, including asylum seekers, to Libyan ports. On Wednesday he dismissed claims that the deal prevented asylum seekers from applying for protection, in a way that visibly disconcerted his host, normally a champion of political incorrectness.

"This is one of the lies that is put about," the colonel declared at a joint press conference after his talks with ­Berlusconi. "The Africans do not have problems of political asylum. People who live in the bush, and often in the desert, don't have political problems. They don't have oppositions or majorities or elections."

UGONJWA GANI UNAOMSUMBUA MWANAHARAKATI HUYU



NA HUYU NAYE NININI YUPO KAWAIDA KWELI

THE LOST YA KIBONGO aka MAISHA PLUS




NILIPATA BAHATI YA KUKUTANA NA WALIOKUWA WASHIRIKI WA MCHEZO WA MAISHA PLUS ULIOKUWA UKIRUSHWA NA TELEVISION YA TAIFA HIVI KARIBUNI NA MSHINDI KUIBUKA BWANA ABDUL HAYUPO PICHANI, MSHIRIKI KUTOKA ZANZIBAR

Friday, June 12, 2009

mdau afunga pingu za maisha

wedding cake

anitha akiweka sign mkataba wa maisha na denis

weding day

akiwa na mpambe wake

maandalizi ya kitchen party

hayawi hayawi sasa yamekuwa mdau denis na mywife wake anitha wakimeremeta baada ya kula pingu za maisha.