Wednesday, November 08, 2006

wametuletea kachumbari sasa



mambo yamekucha bongo, kwa huduma za mawasiliano bongo inakuja juu, kama uliondoka miezi michache iliyopita ukija utabaki ukishangaa mambo kiulayaulaya, walitupatia huduma za GPRS kwenye simu zetu tigo na celtel,tigo na maanisha iliyokuwa ikiitwa mobitel tz,tunaweza kupata huduma za internate kwa kutumia simu na zaidi wamekuja jamaa wa kachumbari watembelee uone vinogesho kwa watumiaji wa simu za mikononi.achana na hao wale watafuta vipaji vya fleva za bongo Egidio najua unamkumbuka mkandiaji wa sanaa za bongo sister duu Salama, c ndiyo? watembelee bongo star search, wajamaa wanaponda hawa balaa, wengi wamejuta kushiriki, salama kama kawa anawapa za uso,ina discouradge lakini tutafika. pongezi kwa Master J kwa ushauri unaotoa kwa vijana iyo ndio inatakiwa, big up man!!!!!!!!!

No comments: