Saturday, November 18, 2006

Mkoa mpya wa magereza Tanzania


ule mkoa ulio ibuka Tanzania hivi majuzi umeweka sheria mpya za barabarani, mkuu wamkoa wa magereza bwana dito na kamanda wake wa mkoa bwana Zombe wametia saini kupitisha sheria hizo, baathi ni kama hiyo apo juu.

No comments: