Monday, August 20, 2007

MABINGWA WA MAHESABU NAOMBA MUNIKOKOTOLEE HILO APO


MAHESABU BADO YANANISHINDA APO JUU KIDOGO NAANZA KUPATA PICHA, TUENDELEE KIPENGELE CHA PILI, NAKUMBUKA MWALIMU WANGU WA MSINGI MAMA MBIYALU ALINISISITIZA SANA KWAMBA KWENYE MAHESABU SOLUTION NDIO YENYE MAKSI NYINGI SASA UYU JAMAA KAONA AFAFANUE KIMAHESABU INAKUWAJE? AJATAKA KUTOA JIBU KWAMBA WOMAN =PROBLEM. TAFAKURI!!!!NA KAMA UNAKUBALIANA NA HILO APO JUU ENDELEA KUKOKOTOA NA HILI APA

2 comments:

luihamu said...

Haya kaka nimekusoma sana.

Anonymous said...

umenifurahisha kaka.lakini mimi nafikiri woman=number of ribs of a man-1,hebu nichambulie na hiyo kaka