Tuesday, July 31, 2007

wame kazalisha na haka duh


Duniani kuna mambo jamani hivi waweza kusema labda mtoto huyu amepewa mdogowake amshike.Kwa akili ya kawaida mzazi anaye weza kumpa mtoto mdogo kama huyu abebe kichanga kama hicho inawezekana hana uchungu na mwanae. lakini mtoto huyu si tu kama amembeba mtoto mwenzake bali amezaa mtoto mwenzake, haya yametokea uko kericho Kenya kwa mtoto wa miaka kumi aliekuwa akisoma shule ya msingi chemamul. naona haya ni baathi ya maajabu ya East Africa.

3 comments:

Simon Kitururu said...

Kazi ipo!:-(

Egidio Ndabagoye said...

Duniani kuna watu na viatu.

Anonymous said...

makubwa tena haya