Friday, September 28, 2007

bongo forum

inawezekana umekuwa ukingojea hoja mbalimbali nzito ziihusuyo nchi yetu kwa kusubiri magazeti ya kuhabarishe, kama ujuavyo vyombo vya habari kama magazeti,radio na television vipo sana sana kwa kufanya biashara hivyo vimekuwa vikiangalia ni upande upi viegemee ili viweze kuuzika,vile vile kutokana na ushabiki wa baadhi ya wahandishi au itikadi zao za kisiasa vimekuwa vikitoa habari pasina uwazi unao takinika kwa kuhofia kushtakiwa au kufungiwa kujihusisha na masuala haya ya habari.
kukua kwa teknologia ya habari haswa kwa njia ya mtandao kumeleta fursa ya wanahabari wenye uchungu wa nchi yao kuweza kutoa habari bila ya mipaka ya kuofia chochote kuzuiliwa kwa njia yeyote.
nakumbuka dr slaa alipotoa majina ya walanchi magazeti mengi hayakuweza kumnukuu dr slaa na kutuacha hewani bila ya kututajia majina ya walanchi kama alivyo yataja dr slaa pale jangwani,
kwa mara ya kwanza nilikuja kuyaona majina baada yakupitia blog ya bwana Ansbet Nguruma
sasa basi labda ni usha mba wangu au sijui nijiiteje kwa kuchelewa kuujua mtandao wa bongoforum sasa kama nawewe ujawahi kuupitia jaribu leo naamini utakuwa hubanduki apa

14 comments:

Simon Kitururu said...

Samahani, natoka nje ya somo!

Njoo tumalizie kujadili kipengele, ili tuende kwenye hatua nyingine ya kuboresha wanajumuiya wa jumuiya ya Watanzania wanao tembelea au wanao blogi.

Tembelea hapa : http://blogutanzania.blogspot.com/
ilia tumalize kujazia dondoo ili tu anze na kipengele kingine.
Idumu JUMUWATA!

Egidio Ndabagoye said...

Si utani.Pametulia

Simon Kitururu said...

Mzee umepotea kidogo!Salama lakini?

Anonymous said...

When I open my Itunes and sync my iPhone the only tabs are Summary, info, Ringtones, Music, Photos, Podcasts, Videos. Other people have '' Others'' or ''Applications'' How come?
[url=http://unlockiphone22.com]unlock iphone[/url]

Anonymous said...

I authorized this computer with my account, but the songs are all still gray'd out on the song list on the iPhone. How do I make them NOT gray so I can play my music on my computer?
[url=http://ilovejump.com/bbs//zboard.php?id=jump&page=5&page_num=20&select_arrange=headnum&desc=&sn=off&ss=on&sc=on&keyword=&no=23&category=]unlock iphone[/url]

Anonymous said...

this forum has got good design keep it up. [url=http://skidsteergayl.info/georges_run_skid_steer_used_parts/]skid steer used parts[/url]

Anonymous said...

you people are really good nice to be here [url=http://ramahydraulic.info/chain+hoist+hydraulic+lodgepole.html]chain hoist hydraulic[/url]

Anonymous said...

Hi I just registered to this devoted place bongslang.blogspot.com . I want to ask for your opinion.
Can you tell me please do you do forex and if yes what forex dealer do you use?
Do you know of some trusted ones?

Thanks in advance for your answers.

P.S. Sorry if I have posted to wrong section this but as you can see I am new here.

Anonymous said...

hotmail profile search user
[url=http://www.viddler.com/explore/hotmail_sign_in]give me passwords for hotmail accounts
[/url] hack hotmail in a minute

Anonymous said...

[url=http://papershredderpetr.info/fergusonville+large+office+model+4260x+confetti+cut+paper+shredder/]large office model 4260x confetti cut paper shredder[/url] this forum has got good design keep it up.

Anonymous said...

You commit an error.

Anonymous said...

[url=http://hydraulicalle.info/troubleshooting+hydraulic+lifts+north+highlands/]troubleshooting hydraulic lifts[/url] i will keep updating and this is excellent forum

Anonymous said...

Hello,
In it something is. I thank for the help in this question, now I will know.

Sweet site, I hadn't noticed www.blogger.com before in my
searches!

I invte you to my homepage, acquiescent in unengaged to look into my blogrbpl [url=http://www.radiobielsko.pl]nieruchomosci bielsko[/url]

Anonymous said...

Hello,

Iam really wonderful and wonderful to be here and would love to contribute to this forum more.



Thanks