Tuesday, November 20, 2007

mdahalo wa familia unapozua mzozo

Siku mtu na mkewe walikuwa wanabishana ni nani muoga
kuliko mwenziwe,mume anasema mke muoga na mke anasema
mume muoga ndipo walipoamua kuwauliza watoto wao


Baba =Naomba kuwauliza ni na nani kati ya mimi na mama yenu mwoga zaidi


Mtoto 1=mama mwoga sababu anaogopa hata kutoka nje usiku wakati baba akiwa amesafiri


Mtoto 2=Baba ndio muoga zaidi maana anaogopa kulala peke yake mama kama siku akiondoka anamuita Msichana wakazi analala nae.

1 comment:

Mija Shija Sayi said...

Hapo nakubali baba ni mwoga zaidi.