Siku mtu na mkewe walikuwa wanabishana ni nani muoga
kuliko mwenziwe,mume anasema mke muoga na mke anasema
mume muoga ndipo walipoamua kuwauliza watoto wao
 Baba =Naomba kuwauliza ni na nani kati ya mimi na mama  yenu  mwoga zaidi
 Mtoto 1=mama mwoga sababu anaogopa hata kutoka nje usiku wakati baba akiwa amesafiri  
Mtoto 2=Baba ndio muoga zaidi maana anaogopa kulala  peke yake mama kama siku akiondoka anamuita  Msichana wakazi analala nae.
 
 
1 comment:
Hapo nakubali baba ni mwoga zaidi.
Post a Comment