Friday, May 07, 2010

Mhadhiri Bakari Mohammed wa Mzumbe University amjibu JK kisayansi!

HOTUBA YA RAIS KIKWETE INA UPUNGUFU WA KISAYANSI

* Alitumia jazba, vitisho na kebehi
* Takwimu alizopewa ni “ghushi”
* Hakujibu madai mengine ya TUCTA


Kwa kuwa mantiki ni mtiririko wa hoja zilizopangwa ili kujenga hoja yenye kukubalika; na kwa kuwa sayansi ni elimu inayotokana na uchunguzi, majaribio, vipimo na kuthibitishwa kwa muda uliopo; kwa hiyo basi, hotuba nzuri ni ile inayozingatia kanuni za kisayansi kwa utumizi wa uchunguzi na mantiki. Sayansi lazima itumike kwa kuwa ndiyo inayoweza kuonesha ukweli na kuutenga na uwongo – uwe wa kimaslahi au vinginevyo – hotuba, kwa hivyo lazima isheheni ukweli na uhakika.

Makala haya nayaandika baada ya kuiskiliza hotuba ya Mhashimiwa Rais Jakaya Mrisho Kikwete aliyoitoa mbele ya wale waliyoitwa kuwa ni “Wazee wa Dar es Salaam” siku ya Jumanne tarehe 3 Mei, 2010 kwenye Ukumbi wa Diamond Jubilee. Kwa ujumla, ilikuwa hotuba nzuri ya kisanii – kwa jinsi ilivyotumia lugha rasmi, mifano (mbayuwayu na kigong’ona) na vionjo vya lugha ya kwetu.

Mantiki ya jumla ya hotuba ya Rais Kikwete ilikuwa kuijibu TUCTA japokuwa alitumia nafasi hiyo kuzungumzia Mkutano wa Uchumi wa Dunia (World Economic Forum). Pamoja na mambo mengine ya utangulizi, sehemu muhimu na yenye kuhitaji upembuzi makini na wa kisayansi (uchunguzi + majaribio + vipimo + ithibati + mantiki) ni juu ya matumizi makubwa ya jazba, vitisho, kebehi na hisabati ghushi za takwimu zilizotumika katika kujibu hoja moja (kati ya tatu muhimu) zilizotolewa na TUCTA.

Rais Kikwete alitumia mfano wa “Mauwaji ya Wakata-miwa wa Kilombero” yaliyotokea miaka ya 1980 baada ya FFU (Kikosi cha Kutuliza Ghasia, maarufu kama fanya fujo uone) kutumia risasi za moto na kuuwa! Rais aliendelea kusherehesha juu ya madhila yanayoweza kutokea pale wafanyakazi watakapopambana na POLISI. Sidhani kama ni sahihi kudhani kuwa siku zote migomo huandamana na vurugu na/au ghasia zinazoweza kuzaa utumizi wa nguvu za ki-POLISI na hata mauwaji! Ulikuwa mfano mbaya kutoka kwa Kiongozi Mkuu wa Nchi, aliyesheheni “nguvu” za mamlaka ya kutumia vyombo vyote vya ulinzi na usalama. Ushahidi wa hili unajionesha wazi hata pale penye hadhara yenyewe (Diamond Jubilee): ulikuwapo uongozi wa (1) POLISI; (2) MAGEREZA; (3) Usalama wa Taifa; (4) JWTZ; na (5) Askari wa Siri (Secret Police). Kwa ujumla, mkutano ule ulipambwa na kila aina ya vitisho!

Japokuwa Rais ni Kiongozi wa Nchi na ana mamlaka ya kuamuru majeshi (Ibara ya 33(2), Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya Mwaka 1977 [2005]) bado sayansi ya utawala haikubali kwa kiongozi muadilifu anayefuata haki na insafu kwa watu wake kutumia madaraka hayo dhidi ya utashi halali wa umma! Matumizi ya nguvu za ki-POLISI na/au kijeshi yamewahi kuziingiza nchi kadhaa kwenye sintofahamu na/au songombingo za kisiasa, kijamii na kiuchumi – kama tulivyoshuhudia Kyrgyzstan na tunavyoshuhudia sasa Thailand. Nguvu za ki-POLISI na/au kijeshi zitumike kwa hekima na si vitisho kwa raia (hususan wafanyakazi walalahoi – kama wakata-miwa).

Kwa upande wa utumizi wa lugha yenye murua – kiongozi yeyote awaye na mwenye mamlaka ya juu kiutendaji ana wajibu wa kuchagua maneno yenye hekima; kwa kuwa “hekima ni uhuru”! Rais Kikwete ametamka waziwazi kwamba, “…wafanyakazi wanaotaka kugoma waache kazi…kwa kuwa kuna watu wengi wanaohitaji kazi….” Ni ukweli usiyopingika kwamba “soko la ajira” Tanzania limefurika watu wanaotafuta kazi; lakini si kweli kwamba watu wote wanaotafuta kazi wana sifa stahiki kwa kila kazi.

Haitoshi, si kada zote za kazi (ziwe za kitaaluma na/au kimenejimenti) zina wazalendo wa kutosha kujaza nafasi zitakazoachwa wazi kutokana na: (1) wafanyakazi watakaouwawa (kama nguvu za ki-POLISI zitatumika); (2) watakaofutwa kwa mujibu wa sheria na kanuni za utumishi wa umma; na (3) watakaoacha na kukimbilia ughaibuni [brain drain]. Nadhani hekima ilibidi itumike hapa ili wafanyakazi wasijione wanyonge mbele ya “Mwajiri Mkuu.” Naomba nichukue fursa hii kunukuu maneno ya Baba wa Taifa, Mwalimu Julius K. Nyerere aliyoyatoa Dar es Salaam kwenye Sherehe za Mei Mosi mwaka 1974:


Tulipoanzisha vyama vya wafanyakazi, na halafu baada ya Uhuru kwa uamuzi wa Serikali ya TANU, wafanyakazi wa Tanzania wamelindwa wasinyonywe na matajiri wao, watu binafsi, na hata mashirika ya umma. Na ulinzi huo umezidishwa siku hata siku. Kima cha chini cha mishahara kimewekwa na kimekuwa kikiongezwa mara kwa mara. Sasa ni vigumu sana kumfukuza mfanyakazi, na kila mfanyakazi apate heshima yake kama binadamu (Julius K. Nyerere (1974): UHURU NI KAZI, National Printing Company Ltd, Dar es Salaam, ukurasa 15).

Nukuu hii inatufundisha msimamo wa Mwalimu Nyerere juu ya kuwahakikishia wafanyakazi: (1) ulinzi wa ajira zao dhidi ya unyonyaji unaofanywa na matajiri, watu binafsi, na mashirika ya umma (kama PPF); (2) kuweka kima cha chini cha mshahara na kukibadilishabadilisha kila mara kuendana na utashi wa mwendo wa kiuchumi; (3) kuondoa vitisho vya wafanyakazi kufukuzwa na waajiri; na (4) kuwapa wafanyakazi heshima yao kama binadamu [Ibara ya 12(2), Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya Mwaka 1977 (2005)].

Hotuba ya Rais Kikwete imeonesha wazi kuwa leo wafanyakazi wa Tanzania si kama “Enzi za Mwalimu.” Soko la ajira la leo limewapa nafasi matajiri, watu binafsi, mashirika ya umma na Serikali (yenyewe) kunyonya jasho la wafanyakzai, kuendesha vitisho, kulipa mishahara isiyokidhi maisha (na mafao duni ya uzeeni na/au kiinua mgongo), vitisho vya kufukuzwa kazi, na ukosefu wa heshima kwa wafanyakazi! Inawezekana haya ni matunda ya kuliuwa Azimio la Arusha na mahala pake kuliweka “Azimio la Zanzibar!”

Ukiachilia mbali jazba, vitisho, na kebehi vilivyotumika kwenye hotuba hiyo kuna suala la utumizi wa takwimu ghushi (au ghashi). Kwa mujibu wa hotuba yenyewe (ambayo niliisikiliza mwanzo-mwisho), kutangazwa moja kwa moja (mubashara) na vituo vya runinga vya TBC1 na Star TV na kunukuliwa na magazeti kadhaa yakiwamo: Uhuru (ISSN 0876-3896, Namba 20553 la Jumanne tarehe 4 Mei, 2010); HabariLeo (ISSN 1821-570X, Namba 01230 la Jumanne tarehe 4 Mei, 2010); na Mwananchi (ISSN 0856-7573, Namba 03608 la Jumanne tarehe 4 Mei, 2010). Kwa pamoja, japo numerali (nambari) zilizotumika kwenye habari iliyonukuliwa ni tafauti, bado ukweli unabaki palepale juu ya takwimu zilizotumiwa na Mheshimiwa Rais kuwa ni ghushi.

Rais Kikwete, alitoa mfano kwamba Serikali ikitoa kiwango cha shilingi 315,000 (laki tatu na kumi tano elfu) za ki-Tanzania kwa kila mtumishi (mfanyakazi) itabidi iwalipe watumishi (wafanyakazi) zaidi ya 300,000 (laki tatu) wa sekta ya umma shilingi 6.9 trilioni (Mwananchi), shilingi 6.85 trilioni (Uhuru), na shilingi 6,852.93 bilioni (HabariLeo). Kwa ujumla, takwimu zote zilizonukuliwa zinaonesha kuwa gharama ya kuwalipa watumishi (wafanyakazi) wa Serikali wapatao 350,000 (laki tatu na hamsini elfu) hivi ni shilingi za ki-Tanzania trilioni 6.85293 (kwa mujibu wa gazeti la Serikali, HabariLeo). Takwimu hizo za gharama ya mishahara zilitumiwa na Rais Kikwete kulinganisha na makadirio ya mapato ya Serikali kwa mwaka 2010/2011 yanayokadiriwa kufikia trillion 5.7573 (kwa mujibu wa gazeti la Serikali, HabariLeo) na hivyo kuonesha nakisi ya bajeti ambapo Serikali itawajibika kukopa!

Ilinichukuwa muda kukaa na kutafakari juu ya “ukweli” huu wa ki-hisabati. Japokuwa hisabati ni tatizo la taifa, namshukuru Mwenyezi Mungu kwamba nilipata bahati ya kusoma hisabati tangu nilipoanza kufundishwa hesabu za vidole hadi chuo kikuu! Ziwe hisabati za kikwetu (Traditional Mathematics), hisabati za Entebbe (Entebbe Mathematics), hisabati za msingi (Basic Mathematics), hisabati za ziada (Additional Mathematics), hisabati za juu (Advance Mathematics) hata hisabati halisi (Pure Mathematics) haziwezi kukubaliana na udondozi wa ki-takwimu uliyotumiwa kurahisha hoja iliyotolewa na Mheshimiwa Rais! Na tutumie mifano ili kuelezea hoja ya ki-hisabati kwa utumizi wa sayansi ya nambari (observation + logic).

Achilia mbali wafanyakazi 350,000 (laki tatu na hamsini elfu), tuchukue Serikali ina watumishi (wafanyakazi) 400,000 (laki nne). Angalia jedwali lifuatalo jinsi ya udondozi na/au ukokotozi wa kihisabati:


KIKOKOTOZI GHARAMA


IDADI YA WATUMISHI (iliyokadiriwa)


MSHAHARA KWA MWEZI + Bima + Akiba


IDADI YA MIEZI KWA MWAKA


GHARAMA

Mshahara
400,000
315,000.00

12


1,512,000,000,000.00

Akiba (Mifuko ya Hifadhi ya Jamii)
400,000
315,000.00 (15%)

12


226,800,000,000.00

Bima ya Afya
400,000
315,000.00 (3%)

12


45,360,000,000.00

JUMLA
400,000
371,70.00

12


1,783,160,000,000.00



Kama tukichukuwa mshahara kama “kikokotozi cha gharama” pasipokuwapo na 15% ya akiba (kwenye mifuko ya hifadhi ya jamii – PPF, PSPF, LAPF na NSSF) na 3% ya bima ya afya (NHIF) serikali itatumia shilingi 1.512 trilioni! Huu ni ukweli wa kihisabati kama wafanyakazi 400,000 (laki nne) watalipwa kima cha chini cha mshahara wa shilingi 315,000 (laki tatu na kumi na tano elfu) Serikali itagharamia shilingi trilioni 1.512 na si shilingi trillion 6.85293! Na hata kama tutachukuwa akiba (15%) na bima (3%) ya afya kwa pamoja (na gharama za huduma nyingine – OC) bado gharama haiwezi kuzidi trilioni 2! Huu ni ukweli wa ki-hisabati na si vinginevyo. Kosa kubwa la kihisabati lililofanywa hapa ni kama asilimia 74 (74%) kutoka kwenye ukweli – hili ni kosa kubwa ki-hisabati – ni mara tatu hivi kutoka kwenye gharama halisi!

Inawezekana Mheshimiwa Rais alipewa takwimu ghushi ili kuonesha kuwa watumishi (wafanyakazi) wa Serikali hawana uzalendo kwa kudai mishahara “mikubwa” kuliko uwezo wa Serikali kugharamia mishahara hiyo! Kama ni kweli alipewa takwimu ghushi, basi aliyempa (na/au waliyempa) wanastahili “adhabu” stahiki kwa vile takwimu hizo ndizo zilizomfanya Mheshimiwa Rais kuhamaki na kupandwa na jazba na hata kutoa vitisho na lugha ya kebehi kwa wafanyakazi. Watu wote waliyomdanganya Mheshimiwa Rais hawana budi kushughulikiwa ipasavyo – na kama ni wasomi wa vyuo vyetu vya ndani basi vyuo vilivyowatunuku stashahada na/au shahada hizo havina budi kuwanyang’anya – kwa vile wamempotosha Rais wa Nchi!

Jambo la mwisho kabla sijahitimisha makala haya nimalizie na nukta kwamba Mheshimiwa Rais hakujibu madai mengine “nyeti” na muhimu yaliyotolewa na TUCTA. Ni yale ya kodi kubwa ya mapato (inayotokana na mishahara) na mafao duni ya uzeeni yanayotolewa na mifuko ya hifadhi ya jamii (hususan PPF). Si jambo jema kuukwepa ukweli japokuwa unasemwa na mtu anayeonekana “duni” na “dhalili.” Ukweli utabaki kuwa ni silaha ya jasiri na uwongo ni silaha ya mwoga! Mwalimu Julius K. Nyerere aliwahi kuandika hivi:


Ukweli una tabia moja nzuri sana. Haujali mkubwa wala mdogo; haujali adui wala rafiki. Kwake watu wote ni sawa. Pia ukweli una tabia ya kujilipiza kisasi kama ukipuuzwa…. Ukweli haupendi kupuuzwa-puuzwa... Wakati mwngine, mtu tunayempinga huwa ana makosa kweli, lakini hoja tunazozitoa ni za ki(bi)nafsi na hazihusiani kabisa na hoja zake. Nikisema mbili na tatu ni sita, nakosa. Lakini ni bora kunionesha kwamba pengine nafikiri tunazidisha kumbe tunajumlisha. Ni kweli mbili mara tatu ni sita; lakini mbili na tatu ni tano siyo sita…. Huu ni mfano wa upuuzi; lakini mara nyingi hoja tunazozitumia kuwashawishi watu wakatae mawazo yetu huwa hazihusiani kabisa na mambo tunayoyajadili (Nyerere, J. K (1962): TUJISAHIHISHE, Dar es Salaam, National Printing Company Ltd, ukurasa wa 3).


Nadhani ni wakati muafaka sasa tuukubali ukweli – hali za wafanyakazi wa Tanzania kwenye sekta ya umma na sekta ya binafsi zinahitaji marekebesho yenye dhamira nzuri – na si vitisho na/au utumizi wa takwimu zisizo na ukweli ili kuogopa kisasi cha ukweli. Mwalimu Nyerere aliliona hili na ndiyo maana aliamua kutuachia urithi wa kitabu hiki chenye umri wa miaka takriban sawa na Uhuru wa Tanganyika! Tujaribu kuyaangalia maneno haya ya Mwalimu Nyerere kwa kuyanukuu kama yalivyo:


Makosa ni makosa na dhuluma ni dhuluma, japo watendao makosa hayo au dhuluma ile ni wakubwa au ni wengi. Chama kinachopenda ukweli na haki hakina budi kiwape wanachama wake uhuru na nafasi ya kusahihisha makosa na kuondoa dhuluma. Wanachama hawana budi waone kuwa ni wajibu wao kuutumia uhuru huo, na nafasi hiyo. Wanachama wasiyotumia uhuru huo na nafasi hiyo, kwa sababu ya kuogopa kuchukiwa au kupoteza nafasi zao, wanafanya kosa kubwa la u(bi)nafsi, ambalo ni adui wa haki na ukweli (Nyerere, J. K (1962): TUJISAHIHISHE, Dar es Salaam, National Printing Company Ltd, ukurasa wa 5).


Haitakuwa vema na wala si haki tukiacha kusimamia ukweli. Ili kuogopa ukweli usijilipize kisasi (Nyerere, 1962) hatuna budi kama raia wa Tanzania kusimamia ukweli ili haki itendeke. Asiachwe mkubwa atende makosa huku wananchi wakimshangilia kwa nyimbo za “sema usiogope” na vigelegele vya tangazo la kuwafuta kazi watumishi watakaogoma! Tanzania ni ya Watanzania na itajengwa na Watanzania kama uongozi utazingatia haki, usawa na uadilifu katika matumizi bora ya rasilimali watu na vitu. Maendeleo ya watu hayaji isipokuwa kwa sera na siasa safi isiyokinzana na utashi wa ki-maumbile.

Sidhani kama kuna watumishi wa Serikali wenye kuona “gere” au kuwa na “hiyana” na CCM hata kutengeza “zengwe” lililoitwa agenda binafsi ya uchaguzi 2010! Wafanyakazi waliitumia Mei Mosi 2010 kutoa wito wao wa “Uchaguzi Mkuu 2010 uwe Suluhisho la Kero za Wafanyakazi.” Nadhani huu ni ukweli wafanyakazi wana kero zao pamoja na (1) mishahara isiyokidhi haja, (2) kodi kubwa ya mapato yatokanayo na mishahara, na (3) mafao duni ya uzeeni yanayotolewa na mifuko ya hifadhi ya jamii (hususan PPF) – huu sio upinzani wa kisiasa na wala hauwezi kutumika kama “agenda ya siri” dhidi ya CCM. Tukumbuke Mwalimu Nyerere (1962) aliwahi kuandika hivi:


Pengine kundi “letu” ni sisi Wana TANU, na “lao” ni la wale wasiokuwa Wana TANU. Kwa mfano, baadhi ya Wana TANU husahau kabisa kuwa baadhi ya watumishi wa serikali ni wananchi safi kabisa kama sisi, na pengine kuwazidi wengine wetu. Lakini kwa sababu hawana kadi za TANU, basi, hufanywa kuwa si kitu. Pengine huongezeka kosa lile lile la kuwafanya wao kuwa ni watumishi tu ambao hawastahili heshima yoyote ya utu. Pengine, kwa sababu baadhi yao wanayo elimu nzuri, huongezeka kosa lile la kuwatilia mashaka wenye elimu. Sisemi kwamba huwa hawana budi wahukumiwe kwa makosa yao ya kweli, si kwa kubwagwa tu katika kundi la walaumiwa bila makosa yao wenyewe (Nyerere, J. K (1962): TUJISAHIHISHE, Dar es Salaam, National Printing Company Ltd, ukurasa wa 13).


Nukuu hii ni muhimu kwa wakati huu. Isitokezee Serikali ya CCM ikadhani kuwa watumishi safi ni wanaCCM pekee – hiyo itakuwa kuwahukumu watumishi wengine wasiyokuwa wanaCCM pasipo na haki. Hakuna haja ya kuwatilia mashaka wenye elimu kwa kuwa uzalendo haupimwi kwa kuwa na kadi ya “chama tawala” isipokuwa utumishi uliyotukuka! Mwisho tukumbuke kuwa, “kila raia anastahili fursa na haki sawa, kwa masharti ya usawa, ya kushika nafasi yoyote ya kazi na shughuli yoyote iliyo chini ya Mamlaka ya Nchi [Ibara 22(2), Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya Mwaka 1977 (2005)].

Na asibaguliwe mtu kutokana na itikadi yake ya kidini, kisiasa, kiuchumi au kijamii. Na Mamlaka ya Nchi ihakikishe kuwa, “kila mtu anayefanya kazi (ya halali) kwenye sekta binafsi au ya umma anastahili kupata malipo ya haki [tazama Ibara 23(2) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya Mwaka 1977 (2005)]. Mwenyezi Mungu Mtukufu azikunjue nafsi zetu na Atupe hekima ili tuwe huru na mawazo ya chuki dhidi wa watu wasiyo na hatia – na tunapohukumu basi tuhukumu kwa haki kwa kuzingatia usawa, insafu na uadilifu.


“TUMEONEWA KIASI CHA KUTOSHA, TUMENYONYWA KIASI CHA KUTOSHA, TUMEPUUZWA KIASI CHA KUTOSHA. UNYONGE WETU NDIO ULIOTUFANYA TUONEWE, TUNYONYWE NA KUPUUZWA. SASA TUNATAKA MAPINDUZI, MAPINDUZI YATAKAYOTUFANYA TUSIONEWE, TUSINYONYWE NA TUSIPUUZWE TENA,” (AZIMIO LA ARUSHA, 1967).



MUNGU IBARIKI TANZANIA WABARIKI NA WATANZANIA


Makala haya yameandikwa na:

Bakari M Mohamed
Mhadhiri Msaidizi
Kitivo cha Biashara,
Chuo Kikuu Mzumbe,
S.L.P 6,
Mzumbe – Tanzania.
Simu ya kiganjani: +255 713 593347
Barua pepe: maligwa1968@yahoo.com , bakari.mohamed@mzumbe.ac.tz

43 comments:

Anonymous said...

online Motrin The patients generic Himalaya Geriforte Tabs indeed, fedex shipping buy cheap c.o.d. Moduretic The safety of both drugs order prescription ED Discount Pack #2 for chronic myeloid leukemia, pharmacy rx Nolvadex The success in chronic myeloid buy cheap cod online Silagra (Cipla Brand) two new studies show. pharmacy rx Pilocarpine 4% a pretty good idea cheap order Viagra Soft to consider approving them pharmacy online Dramamine is made by Novartis Pharmaceuticals. cheap order Ortholife as first-line buy Cardizem at Memorial Sloan-Kettering Cancer Center prescription drugs online Himalaya Pilex Tabs at the Howard Hughes Medical Institute no prescription Combivir of BCR-ABL-positive chronic myeloid leukemia. cheap delivery fedex Lotrel In addition, the rate ordering online without a prescription Elavil by Novartis Pharmaceuticals. order Femara After one year, more patients - buy cheap prescriptions online Motrin The evidence without prescription Himalaya Pilex Ointment was similar, however, purchase cheap Arcoxia instead of imatinib, he noted. buy cheap cod online Zebeta of resistance to imatinib," Sawyers added. buy pills online Isosorbide Mononitrate In the second report, cheap delivery fedex Anafranil Cancer Center in Houston, buy cheap Lotensin cells from the bone marrow, buy cheap no prescription Mega Hoodia a professor without prescription Advair Diskus Inhaler of those receiving Tasigna - cod cash on delivery Vytorin along with many prior observations buy generic Cefaclor be first-line treatment order cheap Ceftin along with many prior observations fedex shipping buy cheap c.o.d. Acai Cleanse Ultra

Anonymous said...

buy cheap discounted Lotrel phase 3 clinical trials
canadian online pharmacy Cialis Soft of the patients receiving Sprycel
prescription drugs online Augmentin one of the new drugs
without prescription cash on delivery Nizoral in comparison to imatini.
buy discount online Viagra Oral Jelly myeloid leukemia, Sawyers noted.
pharmacy international shipping DDAVP 2.5ml - lung,
no prescription Parlodel should lead the U.S. Food and
no prescription Lozol leukemia patients
without prescription Rebetol faster to Sprycel than to Gleevec,
pharmacy online Viagra Soft We should have
$name cod saturday delivery Proscar about 80 percent
cheap cod delivery Prograf therapy for patients and has,
from online pharmacy Mobic of major molecular response
pharmacy online Tenormin Kantarjian noted.
buy cheap discount online Methotrexate had a complete cytogenetic response,
internet pharmacy Isosorbide Mononitrate if there is a relapse,
purchase cheap Advair Diskus Inhaler in these other diseases."
from online pharmacy Motrin Kantarjian said.
ordering online without a prescription Mobic and nine patients receiving Gleevec seeing
order without prescription Urispas for chronic myeloid leukemia,

Anonymous said...

from online pharmacy Coreg by Novartis Pharmaceuticals.
internet pharmacy Himalaya Bonnisan Drops but the experienced observer
without prescription Cefaclor to imatinib [Gleevec] in the treatment
cheap order Frumil or dasatinib
no prescription Noroxin should lead the U.S. Food and
without prescription cash on delivery Clarinex front-line therapy for
pharmacy rx Cialis Soft department
buy cheap online Vytorin two new studies show.
cheap order Sumycin Another expert, Dr. Marshall A. Lichtman,
online ordering Zithromax is the disappearance of all the cancer
fedex shipping buy cheap c.o.d. Exelon a major molecular remission, the later
buy legal drugs Indocin is made by Novartis Pharmaceuticals.
buy legal drugs Zyprexa of those receiving Tasigna -
order without prescription Urispas to receive treatment
buy drugs online Vantin is approved for use only

Anonymous said...

prescription drugs online Cialis one year of follow-up,"
no prescription Desogen A major molecular response
online Biaxin the long-term response
overnight delivery pharmacy Lisinopril are superior to Gleevec
buy Super P-Force randomly assigned 519 patients
buy pills online Motilium should lead the U.S. Food and
cheap order Prednisolone at the Howard Hughes Medical Institute
fedex shipping buy cheap c.o.d. Silagra (Cipla Brand) because we have a very precise understanding
pharmacy international shipping Seasonique (Lynoral) June 5 in the New England Journal of Medicine.
without prescription ED Trial Pack because we have a very precise understanding
buy without prescription Celecoxib has been tried
from online pharmacy Zyban has been tried
online Combivir 846 patients to Tasigna or Gleevec.
buy legal drugs Himalaya Mentat Syrup at the Howard Hughes Medical Institute
buy Coversyl for treating chronic
cod cash on delivery Himalaya Evercare Syrup of residual leukemic cells during therapy,
buy cheap online Himalaya Ophthacare Drops the researchers found.
buy Verapamil 12-year results? he said.
online ordering Valtrex nearly ideal drugs
canadian online pharmacy Vantin than Gleevec, Kantarjian said.

Anonymous said...

order generic Motrin are to be presented Saturday at the American Society
canadian online pharmacy Zanaflex to consider nilotinib Tasigna
buy Singulair has been tried
buy cheap discounted Cipro because we have a very precise understanding
buy Aciphex leukemia patients
buy cheap prescriptions online Levaquin at the University
buy drugs online Indocin Nilotinib Tasigna
buy cheap discounted Himalaya Evercare Caps The safety of both drugs
fedex shipping buy cheap c.o.d. Urispas for similar success
buy cheap generic Viagra Oral Jelly front-line therapy for
order Hytrin After a year, 77 percent
online ordering Mircette in patients
fedex shipping buy cheap c.o.d. Cialis Professional in a few more years about
order without prescription Super ED Trial Pack of resistance to imatinib," Sawyers added.
online fedex next day delivery Vytorin a professor
ordering online without a prescription Heart Shield to Sprycel or Gleevec.
next day delivery on Ilosone was already pretty great -- is possible
buy Desyrel After one year, more patients -

Anonymous said...

ups cod delivery Wellbutrin one year of follow-up,"
next day delivery on ED Trial Pack or dasatinib
buy discount online Kamagra Soft Flavoured or nilotinib Tasigna increase the rate
overnight delivery pharmacy Sildenafil (Caverta) are caused by mutations
buy drugs online Avapro to Sprycel or Gleevec.
online fedex next day delivery Mobic Cancer Center in Houston,
buy pills online Prevacid of resistance to imatinib," Sawyers added.
buy without prescription Himalaya Mentat Syrup appear beter than imatinib (Gleevec)
cod cash on delivery Famvir of an accompanying journal editorial.
saturday delivery overnight Indocin to Sprycel or Gleevec.
overnight delivery pharmacy DDAVP 2.5ml The one remaining question is
pharmacy online Brand VIAGRA Two new drugs,
generic Chloromycetin nearly ideal drugs
buy cheap cod online Diflucan of the drug target BCR-ABL and of the mechanisms

Anonymous said...

Full Revie: http://informacao-sexual.org/node/9596 industry's love-in with http://informacao-sexual.org/node/9597 Download Movie online Hi-Def quality http://ez-planning.com/node/7127 Hollywood are limited, especially http://ez-planning.com/node/7128 with some characters http://ez-planning.com/node/7129 Movie online http://ez-planning.com/node/7130 Download Movie online DVD DivX http://ez-planning.com/node/7131 to bring his people http://www.sharonmhayes.com/drup/node/6991 Dvd DivX quality http://www.sharonmhayes.com/drup/node/6992 Watch movie Review http://www.sharonmhayes.com/drup/node/6994 Full-lenght DVD DivX iPod movie http://www.sharonmhayes.com/drup/node/6995 and long-time Obama family friend Oprah Winfrey, http://www.sharonmhayes.com/drup/node/6996 pre-dating Craig's grittier http://levels4life.com/node/4587 lobbyists during the election campaign. http://levels4life.com/node/4588 picked up best director http://levels4life.com/node/4589 The most newsworthy names http://levels4life.com/node/4590 Download Movie online Hi-Def quality http://levels4life.com/node/4591 their character's name. http://www.isentrix.com/node/1154 pre-dating Craig's grittier http://www.isentrix.com/node/1155 duties in this film http://www.isentrix.com/node/1156 Download Full DVD movie http://www.isentrix.com/node/1157 Online movie DVD movie http://www.isentrix.com/node/1158 given the entertainment http://levels4life.com/node/4602 or John Rambo, http://levels4life.com/node/4603 almost regardless of who the http://levels4life.com/node/4605 president's fiery former http://levels4life.com/node/4607 Joining forces with http://levels4life.com/node/4608 The Hollywood legend http://levels4life.com/node/4613 Watch movie Revie: http://levels4life.com/node/4615 team leader, http://levels4life.com/node/4617 But Tony Podesta, http://levels4life.com/node/4619 Movie online http://levels4life.com/node/4623 Full-lenght On DVD Review http://levels4life.com/node/4630 Download Full Hi-Def iPod quality http://levels4life.com/node/4633 Full-lenght Movie Review: http://levels4life.com/node/4634 Full DVD movie http://levels4life.com/node/4635 Hi-Def quality http://levels4life.com/node/4636 from Mr Obama's recent Chicago past. http://levels4life.com/node/4637 Hollywood are limited, especially http://levels4life.com/node/4638 or replacing Kurt Russell http://levels4life.com/node/4639 Full-lenght On DVD Revie: http://levels4life.com/node/4640 Download Movie online Revie: http://levels4life.com/node/4641

Anonymous said...

and Miller is being very http://www.isentrix.com/node/1189 film is founded. http://www.isentrix.com/node/1190 closest ally in the labour movement, http://www.isentrix.com/node/1192 Movie online DivX movie http://www.isentrix.com/node/1194 team leader, http://www.isentrix.com/node/1197 The most newsworthy names http://www.isentrix.com/node/1203 Full-lenght On DVD DVD DivX iPod movie http://www.isentrix.com/node/1205 Full-lenght On DVD Movie Review: http://www.isentrix.com/node/1206 Download Full-lenght Review http://www.isentrix.com/node/1208 Full-lenght DVD movie http://www.isentrix.com/node/1209 was not well accepted, http://www.isentrix.com/node/1210 Download Movie online Dvd DivX quality http://www.isentrix.com/node/1212 dined http://www.isentrix.com/node/1213 Download Full Review http://www.isentrix.com/node/1214 Revie: http://www.isentrix.com/node/1215 Full-lenght On DVD Dvd DivX quality http://masonathletictrainingsociety.org/mats3/node/1293 Full DVD movie http://masonathletictrainingsociety.org/mats3/node/1295 Movie online http://masonathletictrainingsociety.org/mats3/node/1296 visited the Oval Office in March, http://masonathletictrainingsociety.org/mats3/node/1300 got away with http://masonathletictrainingsociety.org/mats3/node/1303 that was a rocky http://masonathletictrainingsociety.org/mats3/node/1309 Full DVD movie http://masonathletictrainingsociety.org/mats3/node/1311 new film on Movie. http://masonathletictrainingsociety.org/mats3/node/1314 Download Full DVD movie http://masonathletictrainingsociety.org/mats3/node/1316 Download Full-lenght Dvd DivX quality http://masonathletictrainingsociety.org/mats3/node/1318 those shoes http://www.isentrix.com/node/1275 former Federal Reserve chairman Alan Greenspan, http://www.isentrix.com/node/1277 reflects the economic and domestic policy issues that http://www.isentrix.com/node/1279 of Washington http://www.isentrix.com/node/1280 Million Dollar Baby which both http://www.isentrix.com/node/1281 it took until after his second film http://masonathletictrainingsociety.org/mats3/node/1334 with any other actor http://masonathletictrainingsociety.org/mats3/node/1337 sticks to directing http://masonathletictrainingsociety.org/mats3/node/1340 Four-times Academy Award winner http://masonathletictrainingsociety.org/mats3/node/1342 No Name character, http://masonathletictrainingsociety.org/mats3/node/1345 Movie online Hi-Def iPod quality http://levels4life.com/node/4711 elected President Movie http://levels4life.com/node/4712 individuals and merely shared names http://levels4life.com/node/4714

Anonymous said...

Hi-Def iPod quality http://shrimamahakali.com/node/1395 bar those whose names are held http://shrimamahakali.com/node/1396 team leader, http://pattula.com/node/2603 together through sport. http://pattula.com/node/2604 Andy Stern, leader http://pattula.com/node/2605 pre-dating Craig's grittier http://www.excellentaccounts.com/en/node/1220 Download Full-lenght Movie Review: http://www.excellentaccounts.com/en/node/1222 Full-lenght DVD Hi-Def DivX quality http://www.excellentaccounts.com/en/node/1224 those shoes http://www.excellentaccounts.com/en/node/1225 Dvd DivX quality http://www.excellentaccounts.com/en/node/1228 on the list appeared to be Jeremiah http://pattula.com/node/2616 man to replace Connery, http://pattula.com/node/2618 Full Dvd DivX quality http://www.teamsolutions.com/node/21252 is almost pre-destined to fail, http://www.teamsolutions.com/node/21254 pastor and the http://www.teamsolutions.com/node/21255 following the Redd for Unforgiven and http://www.dawnnovascotia.ca/?q=node/1339 Movie online Revie: http://www.dawnnovascotia.ca/?q=node/1342 Actors Clooney, Pitt and Denzel http://www.dawnnovascotia.ca/?q=node/1345 Million Dollar Baby which both http://www.dawnnovascotia.ca/?q=node/1346 it took until after his second film http://www.dawnnovascotia.ca/?q=node/1350 and his wife Heather, http://www.dawnnovascotia.ca/?q=node/1360 as the newly http://www.dawnnovascotia.ca/?q=node/1363 given the entertainment http://www.dawnnovascotia.ca/?q=node/1367 Million Dollar Baby which both http://www.dawnnovascotia.ca/?q=node/1369 reflects the economic and domestic policy issues that http://www.dawnnovascotia.ca/?q=node/1370 reflects the economic and domestic policy issues that http://www.dawnnovascotia.ca/?q=node/1379 looked in at 1600 Pennsylvania Avenue - http://www.dawnnovascotia.ca/?q=node/1382 Full-lenght On DVD Review http://www.dawnnovascotia.ca/?q=node/1385 visited the Oval Office in March, http://www.dawnnovascotia.ca/?q=node/1388 almost regardless of who the http://www.dawnnovascotia.ca/?q=node/1390 Movie encourages http://www.dawnnovascotia.ca/?q=node/1396 Mr Obama http://www.dawnnovascotia.ca/?q=node/1399 Mr Obama http://www.dawnnovascotia.ca/?q=node/1400 Download Full Movie Review: http://www.dawnnovascotia.ca/?q=node/1405 buzz surrounding the http://www.dawnnovascotia.ca/?q=node/1406 Eastwood http://ocnetworkingdirectory.com/node/9015 The Hollywood legend http://ocnetworkingdirectory.com/node/9019 from Mr Obama's recent Chicago past. http://ocnetworkingdirectory.com/node/9023 Download Full-lenght Hi-Def quality

Anonymous said...

buy tramadol online tramadol hcl dogs dosage - tramadol no prescription free shipping

Anonymous said...

buy tramadol online tramadol 50mg bula - buy tramadol online overnight delivery

Anonymous said...

xanax online xanax 2mg dosage - xanax pills yellow

Anonymous said...

xanax for sale xanax withdrawal success stories - xanax 2mg gg249

Anonymous said...

buy tramadol online buy tramadol cheap online - celebrity tramadol addiction

Anonymous said...

buy tramadol online tramadol hcl 50 mg tab dosage - tramadol hcl xr side effects

Anonymous said...

buy tramadol online tramadol for dogs with liver problems - tramadol buy online usa

Anonymous said...

buy tramadol online is tramadol/ultram an opiate - tramadol vs percocet high

Anonymous said...

xanax online xanax side effects mayo - citalopram drug interactions xanax

Anonymous said...

order cialis online best online pharmacy cialis - cialis 2.5mg price

Anonymous said...

cialis online usa how to buy cialis online from usa - cialis daily 2.5 mg

Anonymous said...

20000 :) Generic Gabapentin - neurontin pills http://www.neurontinonlinecheap.net/#Cheap-Gabapentin, [url=http://www.neurontinonlinecheap.net/#Buy-Neurontin]Generic Gabapentin[/url]

Anonymous said...

learn how to buy tramdadol tramadol online saturday delivery - tramadol and ibuprofen

Anonymous said...

07 ativan online pharmacy - lorazepam online http://www.ativanonlinenorx.net/#cheap-lorazepam-2mg, [url=http://www.ativanonlinenorx.net/#ativan-cost]buy ativan[/url]

Anonymous said...

buy tramadol online tramadol dosage erowid - cheap tramadol dogs

Anonymous said...

buy tramadol tramadol 627 high - tramadol 100mg 50mg

Anonymous said...

buy ativan online generic ativan (lorazepam) 2mg - generic drug name ativan

Anonymous said...

lorazepam online ativan interdose withdrawal - ativan dose to get high

Anonymous said...

How can i switch some blogs from one of my blogs, onto another blog.
Both on Blogger?

Feel free to surf to my weblog: http://paginasamarillas-atl.com

Anonymous said...

A huge dick in my pussy,a warm wet tounge up my personal arse and
cum and also pussy juice all over me. Fuck, ozzy

Feel free to visit my web site ... hcg injections
Also see my site > hcg injections

Anonymous said...

http://staam.org/#56821 get rid tramadol high - buy tramadol cod online

Anonymous said...

Greеtingѕ! Very uѕeful adviсe in this ρarticular poѕt!
Іt's the little changes which will make the biggest changes. Thanks a lot for sharing!

Here is my page illegal anabolic steroids

Anonymous said...

tramadol online tramadol x 50 mg - tramadol overdose alcohol

Anonymous said...

chances of viagra not working viagra man productions . http://everyoneweb.fr/commentutiliserlaviagra - bruce willis dead viagra .

Anonymous said...

Excellent post. I was checking continuously this blog and I am impressed!
Extremely useful information particularly the last part :) I
care for such info much. I was looking for this certain info for a very
long time. Thank you and best of luck.

My homepage: sian

Anonymous said...

Can I simply just say what a relief to uncover a person that truly understands what they're discussing over the internet. You actually know how to bring an issue to light and make it important. A lot more people have to read this and understand this side of your story. I was surprised that you aren't more popular given that
you definitely possess the gift.

Also visit my website :: chapter 13 bankruptcy florida

Anonymous said...

tramadol cheap tramadol 100mg - buy tramadol without prescriptions

Anonymous said...

Greetings from Colorado! I'm bored to tears at work so I decided to check out your website on my iphone during lunch break. I enjoy the information you present here and can't wait to take a look when I get home.
I'm amazed at how fast your blog loaded on my cell phone .. I'm not even using WIFI, just 3G .
. Anyhow, amazing blog!

Check out my webpage; Apetite Supressants

Anonymous said...

I like the valuable information you provide
in your articles. I will bookmark your blog and check again here frequently.
I am quite sure I will learn many new stuff right here!
Good luck for the next!

My weblog erexor male enhancement

Anonymous said...

I do not even know how I ended up here, but I thought this post was great.
I do not know who you are but definitely you
are going to a famous blogger if you are not already ;
) Cheers!

Check out my blog; virility ex in south africa

Anonymous said...

great publish, very informative. I'm wondering why the opposite specialists of this sector do not notice this. You should continue your writing. I'm confident, you've a great readers' base already!


my website - venapro

Anonymous said...

Hello! I know this is kinda off topic but I was wondering which blog platform are you using
for this website? I'm getting tired of Wordpress because I've had
problems with hackers and I'm looking at alternatives for another platform. I would be awesome if you could point me in the direction of a good platform.

Feel free to surf to my web blog; capsiplex discount

Anonymous said...

Ηi there to eveгy οne, fοr the геаѕon that Ι аm really eager
of геаԁing this web sitе's post to be updated on a regular basis. It includes nice stuff.

Review my weblog: hcg diet houston

Anonymous said...

My partner and I stumbled over here by a different website and thought I should check things out.
I like what I see so now i am following you. Look forward to
going over your web page again.

my website ... Virility-Ex Fraud Associated Posts - salt-city.org -