Saturday, January 31, 2009

malalamiko ya wanazuoni idara ya sociologia UDSM

Kuna mambo mengi yanayoendelea katika elimu ya juu katika nchi yetu, kama wewe ni mwanadhuoni na hukuwahi kupatwa na msukosuko wa kupata suplimentary katika masomo yako nakupa hongera sana na itakuwa vigumu kuwaunga mkono baadhi ya hawa wanaolalamikia matokeo yao katika harakati za kujikwamuo katika elimu zao. kunamalalamiko mengi katika vyuo vyetu.kuna baadhi ya wahadhiri wanaamini kufelisha wanafunzi ndio kipimo cha elimu bora, sitaki kuamini katika hili ila kunawanao tumia kalamu kama chambo cha kuwapata kimapenzi wale wanao wataka.sina ushahidi sana wa hili lakini habari zisizo rasmi ni hizo. sikiliza baadhi ya maoni na malalamiko kutoka kwa wanachuo mbalimbali pamoja na wale waliopitia katika elmu hii kwa kubofya hapa.

Nawapeni pole wale wote walio wahi kwa makusudi kabisa kufelishwa katika masomo yao.naamini ridhiki ya mtu haipotei ila inacheleweshwa tu, pia kwa wale wazembe katika masomo yao nawashauri mkaze buti na muache kupakaza kama nanyie ni miongoni mwa waathirika wa ufisadi huu.

3 comments:

Simon Kitururu said...

Kazi ipo!:-)

Simon said...

hallow how nice is ur blog out there.
i real like ur blog..
keep it up men...
welcome and follow my blog as well.
its http://samvande.blogspot.com
regards.

Yasinta Ngonyani said...

nimepita kukusalimia karibu kibarazani kwangu pia.